Juma Kilaza Nguli wa Muziki Toka Mji Wenye Sifa ya Mpira na Muziki - E-book - ePub

Anthony Marwa

Note moyenne 
 Anthony Marwa - Juma Kilaza Nguli wa Muziki Toka Mji Wenye Sifa ya Mpira na Muziki.
Juma Ramadhan Magola Kilaza (Magola wa Chumbi), ambaye alijulikana zaidi kwa jina Kilaza ambalo ni jina la ukoo, ni mmoja kati ya wanamuziki bora kuwahi... Lire la suite
3,99 € E-book - ePub
Vous pouvez lire cet ebook sur les supports de lecture suivants :
Téléchargement immédiat
Dès validation de votre commande
Offrir maintenant
Ou planifier dans votre panier

Résumé

Juma Ramadhan Magola Kilaza (Magola wa Chumbi), ambaye alijulikana zaidi kwa jina Kilaza ambalo ni jina la ukoo, ni mmoja kati ya wanamuziki bora kuwahi kutokea Tanzania. Mwanamuziki huyu, alianza kupiga muziki kwenye miaka ya 1960. Katika Maisha yake, alishiriki katika bendi za Morogoro jazz, Cuban Marimba, TK Lumpopo, Magola International na Les Cuban, zote za Morogoro akishiriki kupiga muziki unaojulikana zaidi kama muziki wa dansi ama rumba.
Kitabu hiki, kinasimulia maisha yake kimuziki, mchango wake katika kukuza lugha ya Kiswahili, kuelimisha, kuburudisha, kuliwaza na kukuza sifa ya Morogoro. Kitabu pia, kinasimulia changamoto alizopitia, na visa vilivyovuma sana kati yake na mwanamuziki mwingine maarufu wa Morogoro Mbaraka Mwinshehe Mwaruka.

Caractéristiques

  • Date de parution
    19/12/2023
  • Editeur
  • ISBN
    8215951231
  • EAN
    9798215951231
  • Format
    ePub
  • Caractéristiques du format ePub
    • Protection num.
      pas de protection

Avis libraires et clients

Avis audio

Écoutez ce qu'en disent nos libraires !

À propos de l'auteur

Biographie de Anthony Marwa

KUHUSU MWANDISHI Anthony Marwa Mwita (PhD) pia ni mwandishi wa kitabu Mbaraka Mwinshehe Mwaruka soloist national na rumba la Kitanzania. Kutokana na mapenzi yake ya muziki amefungua studio za kurekodi muziki KC Records mjini Dar es salaam na kutumia fursa hiyo kuzirekodi tena baadhi ya nyimbo za nguli Juma Kilaza na Mbaraka Mwinshehe. Tayari nyimbo kadhaa za nguli hawa Semeni, Asha, Zena na Morogoro hoyee za Juma Kilaza na Shida, Morogoro yapendeza, Esta na Soniasa za Mbaraka Mwinshehe zimekwisha rekodiwa.
Baadhi ya wanamuziki walioshiriki kurekodi nyimbo hizo ni wanamuziki wa zamani wa bendi hizo na watoto wa nguli hao Maneno Juma Kilaza na Muhtaji Mbaraka Mwinshehe.

Vous aimerez aussi

Derniers produits consultés

Juma Kilaza Nguli wa Muziki Toka Mji Wenye Sifa ya Mpira na Muziki est également présent dans les rayons

3,99 €